( لاَ إِلَهَ إِلاَّ اللَّهُ وَحْدَهُ لاَ شَريكَ لَهُ، لَهُ الْمُلْكُ وَلَهُ الْحَمْدُ، وَهُوَ عَلَى كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ، سُبْحَانَ اللَّهِ، وَالْحَمْدُ للَّهِ، وَلاَ إِلَهَ إِلاَّ اللَّهُ، وَاللَّهُ أَكبَرُ، وَلاَ حَوْلَ وَلاَ قُوَّةَ إِلاَّ بِاللَّهِ الْعَلِيِّ الْعَظِيمِ، رَبِّ اغْفرْ لِي ).
Hapana Mola apasae kuabudiwa kwa haki ila Mwenyezi Mungu peke yake hana mshirika, ni wake Ufalme, na ni zake sifa njema, na Yeye juu ya kila kitu ni muweza, ametakasika Mwenyezi Mungu, na Mwenyezi Mungu ni mkubwa na hapana uwezo wala nguvu isipokuwa vyote vinatokana na Mwenyezi Mungu aliye juu, aliye mtukufu, ewe Mola (Mwenyezi Mungu) nisamehe. ........Mwenye kusema hayo (wakati akishutuka kutoka usingizini) basi atasamehewa. Na kama atasimama akaenda kutawadha, akaswali basi swala yake itakubaliwa. (Bukhar, katika Fathul-baar 3/39 namba 1154, na wengineo. Na lafdhi ya Ibni Maajah, angalia: sahihi Ibni Maajah, 335/2.)
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham