( الْحَمْدُ لِلَّهِ الَّذِي عَافَانِي فِي جَسَدِي، وَرَدَّ عَلَيَّ رُوحِي، وَأَذِنَ لي بِذِكْرِهِ )
Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu ambae amenipa uzima wa mwili wangu, na akanirudishia roho yangu, na akaniruhusu kumtaja. (Tirmidhy, 5/473, namba 3401, na angalia: sahihi Tirmidhy, 144/3.)
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham