((لَا إِلَهَ إِلاَّ اللَّهُ وَحْدَهُ لاَ شَرِيكَ لَهُ، لَهُ الْمُلْكُ، وَلَهُ الْحَمدُ، وَهُوَ عَلَى كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ. لاَ حَوْلَ وَلاَ قُوَّةَ إِلاَّ بِاللَّهِ، لاَ إِلَهَ إِلاَّ اللَّهُ، وَلاَ نَعْبُدُ إِلاَّ إِيَّاهُ, لَهُ النِّعْمَةُ وَلَهُ الْفَضْلُ وَلَهُ الثَّنَاءُ الْحَسَنُ، لَا إِلَهَ إِلاَّ اللَّهُ مُخْلِصِينَ لَهُ الدِّينَ وَلَوْ كَرِهَ الكَافِرُونَ)).
Hapana Mola apasae kuabudiwa kwa haki ila Mwenyezi Mungu hali ya kuwa peke yake hana mshirika wake, ni wake Ufalme, na ni zake sifa njema, na Yeye juu ya kila kitu ni muweza, hapana uwezo wala nguvu ila vyote vinatoka kwa Mwenyezi Mungu, hapana Mola apasae kuabudiwa kwa haki ila Mwenyezi Mungu, wala hamuabudu (yeyote) ila Yeye, ni zake neema, nani wake ubora, na ni zake sifa nzuri zote, hapana Mola apasae kuabudiwa kwa haki ila Mwenyezi Mungu, hali ya kumtakasia dini yake, japokuwa makafiri wanachukia.
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham