((سُبْحَانَ اللَّهِ، وَالْحَمْدُ لِلَّهِ، وَاللَّهُ أَكْبَرُ (ثلاثاً وثلاثين) لاَ إِلَهَ إِلاَّ اللَّهُ وَحْدَهُ لاَ شَرِيكَ لَهُ، لَهُ الْمُلْكُ وَلَهُ الْحَمْدُ وَهُوَ عَلَى كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ)).
Ametakasika Mwenyezi Mungu, (mara thelathini na tatu). Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, (mara thelathini na tatu). Mwenyezi Mungu ni Mkubwa, (mara thelathini na tatu). Hapana Mola apasae kuabudiwa kwa haki ila ni Mwenyezi Mungu, hali ya kwa peke yake hana mshirika wake, ni wake Ufalme, na ni zake sifa njema, na Yeye ni muweza wa kila kitu. (Kisha atasoma: Suratul-Ikhlas, na Suratul-Falaq, na Suratul-Nnas, (kama inavyojieleza mbele)
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham