MwanzoDhikriNyiradi za asubuhi na jionidhikri 6

Nyiradi za asubuhi na jioni — dhikri 6

أذكار الصباح والمساء · Hisnul Muslim · 6 / 24

Soma · SikilizaFaili la PDF

((اللَّهُمَّ إِنِّي أَصْبَحْتُ أُشْهِدُكَ، وَأُشْهِدُ حَمَلَةَ عَرْشِكَ، وَمَلاَئِكَتِكَ، وَجَمِيعَ خَلْقِكَ، أَنَّكَ أَنْتَ اللَّهُ لَا إِلَهَ إِلاَّ أَنْتَ وَحْدَكَ لاَ شَرِيكَ لَكَ، وَأَنَّ مُحَمَّداً عَبْدُكَ وَرَسُولُكَ)) (أربعَ مَرَّاتٍ).[ وإذا أمسى قال: اللَّهم إني أمسيت...]

Ewe Mwenyezi Mungu hakika mimi nimefika asubuhi nakushuhudia na nina washuhudiza wabeba wa arshi yako, na Malaika wako, na viumbe wako wote, kwamba Wewe ndiye Mwenyezi Mungu, hapana apasae kuabudiwa kwa haki ila Wewe, hali ya kuwa peke yako huna mshirika, na kwamba Muhammad ni mja wako na ni Mtume wako. (Atasema hivo mara nne asubuhi au jioni). Atakae yasema hayo asubuhi au jioni mara nne, Mwenyezi Mungu (S.W) atamuepusha na moto.

Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham

Dhikri · 15 lugha