((اللَّهُمَّ مَا أَصْبَحَ بِي مِنْ نِعْمَةٍ أَوْ بِأَحَدٍ مِنْ خَلْقِكَ فَمِنْكَ وَحْدَكَ لاَ شَرِيكَ لَكَ، فَلَكَ الْحَمْدُ وَلَكَ الشُّكْرُ)). [وإذا أمسى قال: اللَّهم ما أمسى بي...]
Ewe Mweneyezi Mungu sikuamka na neema yoyote au kati ya kiumbe chako chochote, na neema ila inatoka kwako, hali ya kuwa peke yako huna mshirika wako, ni zako sifa njema na ni zako shukrani. Atakaesema maneno hayo kila asubuhi basi atakuwa ametekeleza shukrani za siku nzima, na atakae yasema jioni atakuwa ametekeleza shukrani za usiku mzima.
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham