MwanzoDhikriNyiradi za asubuhi na jionidhikri 5

Nyiradi za asubuhi na jioni — dhikri 5

أذكار الصباح والمساء · Hisnul Muslim · 5 / 24

Soma · SikilizaFaili la PDF

((اللَّهُمَّ أَنْتَ رَبِّي لَا إِلَهَ إِلاَّ أَنْتَ، خَلَقْتَنِي وَأَنَا عَبْدُكَ، وَأَنَا عَلَى عَهْدِكَ وَوَعْدِكَ مَا اسْتَطَعْتُ، أَعُوذُ بِكَ مِنْ شَرِّ مَا صَنَعْتُ، أَبُوءُ لَكَ بِنِعْمَتِكَ عَلَيَّ، وَأَبُوءُ بِذَنْبِي فَاغْفِرْ لِي فَإِنَّهُ لاَ يَغْفِرُ الذُّنوبَ إِلاَّ أَنْتَ)).

Ewe mwenyezi Mungu Wewe ni Mola wangu, hapana Mola apasae kuabudiwa kwa haki ila Wewe, umeniumba mimi na mimi ni mja wako, nami niko juu ya ahadi yako, na agano lako, kiasi cha uwezo wangu, najilinda kwako kutokana na shari ya nilicho kifanya, nakiri kwako kwa kunineemesha, na nakiri kwa madhambi yangu, basi nakuomba unisamehe kwani hakuna mwenye kusamehe madhambi ila Wewe.

Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham

Dhikri · 15 lugha