((لاَ إِلَهَ إِلاَّ اللَّهُ، وَحْدَهُ لاَ شَرِيكَ لَهُ، لَهُ الْمُلْكُ وَلَهُ الْحَمْدُ وَهُوَ عَلَى كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ)) (مائةَ مرَّةٍ إذا أصبحَ).
Ametakasika Mwenyezi Mungu, na sifa njema zote ni zake, kwa hesabu ya viumbe wake, na radhi yake, na uzito wa arshi yake, na wino wa maneno yake, (mara tatu kila asubuhi)
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham