((اللَّهُمَّ أَعِذْهُ مِنْ عَذَابِ القَبْرِ)) وإن قال: ((اللَّهُمَّ اجْعَلْهُ فَرَطاً وَذُخْراً لِوَالِدَيْهِ، وَشَفِيعاً مُجَاباً، اللَّهُمَّ ثَقِّلْ بِهِ مَوَازِينَهُمَا، وَأَعْظِمْ بِهِ أُجورَهُمَا، وَأَلْحِقْهُ بِصَالِحِ الْمُؤْمِنِينَ، وَاجْعَلْهُ فِي كَفَالَةِ إِبْرَاهِيمَ، وَقِهِ بِرَحْمَتِكَ عَذَابَ الْجَحِيمِ، وَأَبْدِلْهُ دَاراً خَيْراً مِنْ دَارِهِ، وَأَهْلاً خَيْراً مِنْ أَهْلِهِ، اللَّهُمَّ اغْفِرْ لِأَسْلاَفِنَا، وَأَفْرَاطِنَا، وَمَنْ سَبَقَنَا بِالْإِيمَانِ)) إن قال ذلك فَحَسَنٌ.
Ewe Mwenyezi Mungu mlinde na adhabu ya kaburi. Ewe Mwenyezi Mungu mjaalie kuwa ni kitangulizi na akiba kwa wazazi wake, na nikiombezi chenye kukubaliwa dua yake, Ewe Mwenyezi Mungu kwa ajili yake zifanye nzito mizani za wazazi wake, na yafanye mengi malipo yao, na mkutanishe na waumini wema, na mjaalie awe katika dhamana ya Ibrahim na umuepushe kwa rehema yako na adhabu ya moto, na mbadilishie nyumba bora kuliko nyumba yake, na jamaa bora kuliko jamaa zake, Ewe Mwenyezi Mungu wasamehe waliotangulia katika uislamu.
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham