((اللَّهُمَّ اجْعَلْهُ لَنَا فَرَطاً، وَسَلَفاً، وَأَجْراً)).
Alikuwa Al-Hassan anamsomea mtoto mdogo Suratul-Fatiha kisha anasema: ''Ewe Mwenyezi Mungu, mfanye kwetu sisi ni kitangulizi cha malipo, na dhamana na malipo.
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham