((اللَّهُمَّ إِنِّي ظَلَمْتُ نَفْسِي ظُلْماً كَثِيراً، وَلاَ يَغْفِرُ الذُّنوبَ إِلاَّ أَنْتَ، فَاغْفِرْ لِي مَغْفِرَةً مِنْ عِنْدِكَ وَارْحَمْنِي، إِنَّكَ أَنْتَ الغَفورُ الرَّحيمُ)).
Ewe Mwenyezi Mungu hakika mimi nimeidhulumu nafsi yangu dhulma kubwa, na hakuna mwenye kusamehe madhambi ila Wewe, basi nisamehe msamaha kutoka kwako, na unirehemu, hakika Wewe ni mwingi wa kusamehe, mwingi wa kurehemu.
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham