((اللَّهُمَّ إِنِّي أَعوذُ بِكَ مِنْ عَذَابِ الْقَبْرِ، وَأَعوذُ بِكَ مِنْ فِتْنَةِ الْمَسِيحِ الدَّجَّالِ، وَأَعوذُ بِكَ مِنْ فِتْنَةِ الْمَحْيَا وَالْمَمَاتِ. اللَّهُمَّ إِنِّي أَعوذُ بِكَ مِنَ الْمَأْثَمِ وَالْمَغْرَمِ)).
Ewe Mwenyezi Mungu hakika mimi najilinda kwako kutokana na adhabu ya kaburi, na najilinda kwako kutokana na fitna ya Masihi-ddajaal, na najilinda kwako kutokana na fitna ya uhai na ya mauti, Ewe Mwenyezi Mungu hakika mimi najilinda kwako kutokana na dhambi na deni.
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham