((اللَّهُمَّ اغْفِرْ لِي مَا قَدَّمْتُ، وَمَا أَخَّرْتُ، وَمَا أَسْرَرْتُ، وَمَا أَعْلَنْتُ، وَمَا أَسْرَفْتُ، وَمَا أَنْتَ أَعْلَمُ بِهِ مِنِّي. أَنْتَ الْمُقَدِّمُ، وَأَنْتَ الْمُؤَخِّرُ لاَ إِلَهَ إِلاَّ أَنْتَ)).
Ewe Mwenyezi Mungu nisamehe niliyoyatanguliza na niliyoyachelewesha, na niliyoyafanya kwa siri na niliyoyafanya kwa dhahiri, na niliyoruka mipaka, na ambayo Wewe unayajua zaidi kuliko mimi, Wewe ndiwe mwenye kutanguliza na Wewe ndiwe mwenye kuchelewesha,hakuna apasae kuabudiwa kwa haki ila Wewe.
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham