((اللَّهُمَّ لَكَ رَكَعْتُ، وَبِكَ آمَنْتُ، وَلَكَ أَسْلَمْتُ، خَشَعَ لَكَ سَمْعِي، وَبَصَرِي، وَمُخِّي، وَعَــــظْمِي، وَعَصَبِي، [وَمَا استَقَلَّتْ بِهِ قَدَمِي])).
Ewe Mwenyezi Mungu kwako nimerukuu, na Wewe nimekuamini, na kwako nimejisalimisha, umenyenyekea kwako usikizi wangu, na uoni wangu, na ubongo wangu, na mfupa wangu, na hisia zangu, na ambacho kimesimama juu ya miguu yangu.
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham