Mwanzo›Dhikri›Dua ya wakati wa kurukuu (17)
Dua ya wakati wa kurukuu
دعاء الركوع · Hisnul Muslim · 5 dhikri
- dhikri 1((سُبْحانَ رَبِّيَ الْعَظِيمِ)). ثلاث مرَّاتٍ.Ametakasika Mola wangu aliye Mtukufu. (Utasema mara tatu)
- dhikri 2((سُبْحَانَكَ اللَّهُمَّ رَبَّنَا وَبِحَمْدِكَ، اللَّهُمَّ اغْفِرْ لِي)).Kutakasika ni kwako Ewe Mwenyezi Mungu Mola wetu, na sifa njema zote ni zako, Ewe Mwenyezi Mungu, nisamehe
- dhikri 3((سُبُّوُحٌ، قُدُّوسٌ، رَبُّ المَلاَئِكَةِ وَالرُّوحِ)).Mwingi wa kutakaswa, Mtakatifu, Mola wa Malaika na Jibriil.
- dhikri 4((اللَّهُمَّ لَكَ رَكَعْتُ، وَبِكَ آمَنْتُ، وَلَكَ أَسْلَمْتُ، خَشَعَ لَكَ سَمْعِي، وَبَصَرِي، وَمُخِّي، وَعَــــظْمِي، وَعَصَبِي، [وَمَا استَقَلَّتْ بِهِ قَدَمِي])).Ewe Mwenyezi Mungu kwako nimerukuu, na Wewe nimekuamini, na kwako nimejisalimisha, umenyenyekea kwako usikizi wangu, na uoni wangu, na ubongo wangu, na mfupa wangu, na hisia…
- dhikri 5((سُبْحَانَ ذِي الْجَبَرُوتِ، وَالْمَلَكُوتِ، وَالْكِبْرِيَاءِ، وَالْعَظَمَةِ)).Ametakasika Mwenye Utawala na Ufalme, na Ukubwa, na Utukufu.
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham