((ثَلاَثٌ مَنْ جَمَعَهُنَّ فَقَدْ جَمَعَ الْإِيمَانَ: الْإِنْصَافُ مِنْ نَفْسِكَ، وَبَذْلُ السَّلاَمِ لِلْعَالَمِ، وَالْإِنْفَاقُ مِنَ الإِقْتَارِ)).
Amesema Ammar bin Yaasir (r.a): 'Mambo matatu anaeyakusanya basi amekusanya Imani, uadilifu wa nafsi yako, na kutoa salamu kwa watu wote, na kutoa (sadaka) hali ya kuwa ni mchache wa mali.'
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham