MwanzoDhikriFadhila za kueneza na kudhihirisha maamkizi ya kiislamudhikri 2

Fadhila za kueneza na kudhihirisha maamkizi ya kiislamu — dhikri 2

إفشاء السلام · Hisnul Muslim · 2 / 3

Soma · SikilizaFaili la PDF

((ثَلاَثٌ مَنْ جَمَعَهُنَّ فَقَدْ جَمَعَ الْإِيمَانَ: الْإِنْصَافُ مِنْ نَفْسِكَ، وَبَذْلُ السَّلاَمِ لِلْعَالَمِ، وَالْإِنْفَاقُ مِنَ الإِقْتَارِ)).

Amesema Ammar bin Yaasir (r.a): 'Mambo matatu anaeyakusanya basi amekusanya Imani, uadilifu wa nafsi yako, na kutoa salamu kwa watu wote, na kutoa (sadaka) hali ya kuwa ni mchache wa mali.'

Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham

Dhikri · 15 lugha