((لاَ إِلَهَ إِلاَّ اللَّهُ وَاللَّهُ أَكْبَرُ، لاَ إِلَهَ إِلاَّ اللَّهُ وَحْدَهُ، لاَ إِلَهَ إِلاَّ اللَّهُ وَحْدَهُ لاَ شَرِيكَ لَهُ، لاَ إِلَهَ إِلاَّ اللَّهُ لَهُ المُلْكُ وَلَهُ الْحَمْدُ، لاَ إِلَهَ إِلاَّ اللَّهُ وَلاَ حَوْلَ وَلاَ قُوَّةَ إِلاَّ بِاللَّهِ)).
Hapana Mola apasae kuabudiwa kwa haki ila ni Mwenyezi Mungu, na Mwenyezi Mungu ni Mkubwa, Hapana Mola apasae kuabudiwa kwa haki ila ni Mwenyezi Mungu peke yake, Hapana Mola apasae kuabudiwa kwa haki ila ni Mwenyezi Mungu mpeke hana mshirika wake, Hapana Mola apasae kuabudiwa kwa haki ila ni Mwenyezi Mungu, ni wake Ufalme, na sifa njema zote ni zake, Hapana Mola apasae kuabudiwa kwa haki ila ni Mwenyezi Mungu, na hapana uwezo wala nguvu isipokuwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu.
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham