((اللَّهُمَّ إِيَّاكَ نعْبُدُ، وَلَكَ نُصَلِّي وَنَسْجُدُ، وَإِلَيْكَ نَسْعَى وَنَحْفِدُ، نَرْجُو رَحْمَتَكَ، وَنَخْشَى عَذَابَكَ، إِنَّ عَذَابَكَ بِالكَافِرِينَ مُلْحَقٌ. اللَّهُمَّ إِنَّا نَسْتَعينُكَ، وَنَسْتَغْفِرُكَ، وَنُثْنِي عَلَيْكَ الْخَيْرَ، وَلاَ نَكْفُرُكَ، وَنُؤْمِنُ بِكَ، وَنَخْضَعُ لَكَ، وَنَخْلَعُ مَنْ يَكْفرُكَ)).
Ewe Mwenyezi Mungu, Wewe tu ndiye tunaekuabudu, na kwako tunasali na tunasujudu, na kwako tunakimbilia na tunakutumikia, tunataraji rehema yako, na tunaogopa adhabu yako, kwani adhabu yako hakuna shaka kuwa makafiri itawafikia. Ewe Mwenyezi Mungu hakika sisi tunakutaka msaada, na tunakutaka msamaha, na tunakusifu kwa kheri, na wala hatukukufurishi, na tunakuamini Wewe na tunakunyenyekea na tunamuepuka anaekukufuru.
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham