((اللَّهُمَّ اهْدِنِي فِيمَنْ هَدَيْتَ، وَعَافِنِي فِيمَنْ عَافَيْتَ، وَتَوَلَّنِي فِيمَنْ تَوَلَّيْتَ، وَبَارِكْ لِي فِيمَا أَعْطَيْتَ، وَقِنِي شَرَّ مَا قَضَيْتَ؛ فَإِنَّكَ تَقْضِي وَلاَ يُقْضَى عَلَيْكَ، إِنَّهُ لاَ يَذِلُّ مَنْ وَالَيْتَ، [وَلاَ يَعِزُّ مَنْ عَادَيْتَ]، تَبارَكْتَ رَبَّنا وَتَعَالَيْتَ)).
Ewe Mwenyezi Mungu, niongoze pamoja na uliowaongoza, na unipe afya njema pamoja na uliowapa afya njema, na nifanye kuwa ni mpenzi wako pamoja na uliowafanya wapenzi, na nibariki katika ulichonipa, na nikinge na shari ya ulilolihukumu, kwani Wewe unahukumu wala huhukumiwi, hakika hadhaliliki uliyemfanya mpenzi (wala hatukuki uliyemfanya adui) Umetakasika Ewe Mola wetu na Umetukuka.
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham