((أَسْتَغْفِرُ اللَّهَ (ثَلاَثَاً) اللَّهُمَّ أَنْتَ السَّلاَمُ، وَمِنْكَ السَّلاَمُ، تَبَارَكْتَ يَا ذَا الْجَلاَلِ وَالْإِكْرَامِ)).
Namuomba msamaha Mwenyezi Mungu . (mara tatu). Ewe Mwenyezi Mungu Wewe ndie Amani, na kwako ndiko kunakotoka amani, Umetukuka Ewe mwenyezi utukufu na Ukarimu.
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham