((اللَّهُمَّ إِنِّي أَعُوذُ بِكَ مِنَ الْبُخْلِ، وَأَعوذُ بِكَ مِنَ الْجُبْنِ، وَأَعُوذُ بِكَ مِنْ أَنْ أُرَدَّ إِلَى أَرْذَلِ الْعُمُرِ، وَأَعُوذُ بِكَ مِنْ فِتْنَةِ الدُّنْيَا وَعَذَابِ الْقَبْرِ)).
Ewe Mwenyezi Mungu najilinda kwako kutokana na ubakhili, na ninajilinda kwako kutokana na uwoga, na ninajilinda kwako kutokana na kurudishwa kwenye umri duni, na ninajilinda kwako kutokana na fitna ya dunia na adhabu ya kaburi.
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham