وَقَالَ صلى الله عليه وسلم: ((أَيَعْجِزُ أَحَدُكُم أَنْ يَكْسِبَ كُلَّ يَوْمٍ أَلْفَ حَسَنَةٍ)) فَسَأَلَهُ سَائِلٌ مِنْ جُلَسَائِهِ كَيْفَ يَكْسِبُ أَحَدُنَا أَلْفَ حَسَنَةٍ؟ قَالَ: ((يُسَبِّحُ مِائَةَ تَسْبِيحَةٍ، فَيُكتَبُ لَهُ أَلْفُ حَسَنَةٍ أَوْ يُحَطُّ عَنْهُ أَلْفُ خَطِيئَةٍ)).
Na amesema Mtume (s.a.w): ''Hivi anashindwa mmoja wenu kuchuma kila siku thawabu elfu? Mtu mmoja miongoni mwa waliokaa akamuuliza: Atachuma vipi mmoja wetu thawabu elfu? (Mtume s.a.w) Akamjibu: Aseme: (Subhana LLah). ''Ametakasika Mwenyezi Mungu.'' ...Mara mia moja, basi ataandikiwa thawabu elfu moja, au atafutiwa madhambi elfu moja.
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham