MwanzoDhikriFadhila za tasbiih, tahmiid, tahliil na takbiirdhikri 4

Fadhila za tasbiih, tahmiid, tahliil na takbiir — dhikri 4

فضل التسبيح و التحميد، و التهليل، و التكبير · Hisnul Muslim · 4 / 12

Soma · SikilizaFaili la PDF

وَقَالَ صلى الله عليه وسلم: ((لَأَنْ أَقُولَ سُبْحَانَ اللَّهِ، وَالْحَمْدُ لِلَّهِ، وَلاَ إِلَهَ إِلاَّ اللَّهُ، وَاللَّهُ أَكْبَرُ، أَحَبُّ إِلَيَّ مِمَّا طَلَعَتْ عَلَيْهِ الشَّمسُ)).

Na amesema Mtume (s.a.w): ''Kusema kwangu: ''Ametakasika Mwenyezi Mungu, na sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, na hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki ila ni Mwenyezi Mungu, na Mwenyezi Mungu ni Mkubwa.'' .....Ni bora kwangu kuliko kila kilicho angaziwa na jua.

Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham

Dhikri · 15 lugha