وَقَالَ صلى الله عليه وسلم: ((أَقْرَبُ مَا يَكُونُ الرَّبُّ مِنَ الْعَبْدِ فِي جَوْفِ اللَّيْلِ الآخِرِ فَإِنِ اسْتَطَعْتَ أَنْ تَكُونَ مِمَّنْ يَذْكُرُ اللَّهَ فِي تِلْكَ السَّاعَةِ فَكُنْ)).
Amesema Mtume (s.a.w): ''Wakati ambao mja na Mola wake wakuwa karibu zaidi, ni katika nusu ya mwisho ya usiku. Ukiweza kuwa miongoni mwa wanaomtaja Mwenyezi Mungu kwa wakati huo basi kuwa.''
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham