((بِسْمِ اللَّهِ الَّذِي لاَ يَضُرُّ مَعَ اسْمِهِ شَيْءٌ فِي الْأَرْضِ وَلاَ فِي السّمَاءِ وَهُوَ السَّمِيعُ الْعَلِيمُ)) (ثلاثَ مرَّاتٍ).
Kwa jina la Mwenyezi Mungu ambae hakidhuru kwa jina lake kitu chochote kilichopo ardhini wala mbinguni, nae ni Msikivu na Mjuzi. (mara tatu).
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham