MwanzoDhikriUtajo unaosomwa katika kikaodhikri 1

Utajo unaosomwa katika kikao — dhikri 1

ما يقال في اﻟﻤﺠلس · Hisnul Muslim · 1 / 1

Soma · SikilizaFaili la PDF

((عَنِ ابْنِ عُمَرَ رضي الله عنه قَاَلَ: كَانَ يُعَدُّ لِرَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم فِي الْمَجْلِسِ الوَاحِدِ مِائَةُ مَرَّةٍ مِنْ قَبْلِ أَنْ يَقُومَ: ((رَبِّ اغْفِرْ لِي، وَتُبْ عَلَيَّ، إِنَّكَ أَنْتَ التَّوَّابُ الغَفُورُ)).

Imepokewa kutoka kwa Ibn Omar (r.a) amesema: Alikuwa akihesabiwa Mtume (s.a.w) kusoma kwake dua hii katika kikao kimoja ikifika idadi ya mara mia moja kabla hajasimama. ''Mwenyezi Mungu nisamehe, na nikubalie toba yangu, hakika Wewe ni mwingi wa kukubali toba, mwingi wa kusamehe.''

Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham

Dhikri · 15 lugha