((الْحَمْدُ لِلَّهِ الَّذِي أَطْعَمَنِي هَذَا، وَرَزَقَنِيهِ، مِنْ غَيْرِ حَوْلٍ مِنِّي وَلاَ قُوَّةٍ)).
Sifa njema ni za Mwenyezi Mungu ambae amenilisha mimi chakula hiki na akaniruzuku pasina uwezo wangu wala nguvu zangu.
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham