((إِذَا أَكَلَ أَحَدُكُمْ طَعَاماً فَلْيَقُلْ بِسْمِ اللَّهِ، فَإِنْ نَسِيَ فِي أَوَّلِهِ فَلْيَقُلْ بسمِ اللَّهِ فِي أَوَّلِهِ وَآخِرِهِ)).
Atakapokula mmoja wenu chkula basi aseme: ''Bismi LLaah'' ''Kwa jina la Mwenyezi Mungu.'' Na akisahau mwanzo wake, basi aseme: ''Bismi LLaahi fii awwalihi wa a'khirihi'' ''Kwa jina la Mwenyezi Mungu mwanzo wake na mwisho wake.''
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham