((اللَّهُمَّ أَنْتَ عَضُدِي، وَأَنْتَ نَصِيرِي، بِكَ أَحُولُ وَبِكَ أَصُولُ، وَبِكَ أُقاتِلُ)).
Ewe Mwenyezi Mungu Wewe ndie msaidizi wangu, nawe ndie mnusuru wangu (mwenye kuninusuru), kwako ninazunguka na kwako ninavamia, na kwako ninapigana.
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham