((لاَ إِلَهَ إِلاَّ اللَّهُ الْعَظِيمُ الْحَلِيمُ، لاَ إِلَهَ إِلاَّ اللَّهُ رَبُّ الْعَرْشِ الْعَظِيمِ، لاَ إِلَهَ إِلاَّ اللَّهُ رَبُّ السَّمَوَاتِ وَرَبُّ الْأَرْضِ وَرَبُّ الْعَرْشِ الْكَرِيمِ)).
Hapana Mola apasae kuabudiwa kwa haki ila ni Mwenyezi Mungu, aliye Mtukufu Mpole, hapana Mola apasae kuabudiwa kwa haki ila ni Mwenyezi Mungu, Mola wa arshi tukufu, Hapana Mola apasae kuabudiwa kwa haki ila ni Mwenyezi Mungu Mola wa mbingu na Mola wa ardhi na Mola wa arshi tukufu.
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham