((اللَّهُمَّ إِنِّي أَسْأَلُكَ بِأَنَّ لَكَ الْحَمْدَ لَا إِلَهَ إِلاَّ أَنْتَ وَحْدَكَ لاَ شَرِيكَ لَكَ، الْمَنَّانُ، يَا بَدِيعَ السَّمَوَاتِ وَالْأَرْضِ يَا ذَا الْجَلاَلِ وَالْإِكْرَامِ، يَا حَيُّ يَا قَيُّومُ إِنِّي أَسْأَلُكَ الْجَنَّةَ وَأَعُوذُ بِكَ مِنَ النَّارِ)).
Ewe Mwenyezi Mungu, hakika mimi nakuomba, kwa vile sifa njema zote ni zako, hapana Mola apasae kuabudiwa kwa haki Wewe, hali ya kuwa peke yako, huna mshirika, mwingi wa kuneemesha, Ewe Mwenyezi Mungu (Muumbaji) wa mbingu na ardhi (bila ya kuwa na mfano kabla) Ewe Mwenye utukufu na ukarimu, Ewe ulie hai mwenye kusimama kwa dhati yako, hakika mimi nakuomba pepo, na ninajilinda kwako kutokana na moto.
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham