((اللَّهُمَّ اغْفِرْ لِي، وَارْحَمْنِي، وَاهْدِنِي، وَاجْبُرْنِي، وَعَافِنِي، وَارْزُقْنِي، وَارْفَعْنِي)).
Ewe Mwenyezi Mungu nisamehe, na unirehemu, na uniongoze, na uniungie (uniunge), na unipe afya, na uniruzuku, na uniinue.
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham