((اللَّهُمَّ لَكَ سَجَدْتُ وَبِكَ آمَنْتُ، وَلَكَ أَسْلَمْتُ، سَجَدَ وَجْهِيَ لِلَّذِي خَلَقَهُ، وَصَوَّرَهُ، وَشَقَّ سَمْعَهُ وَبَصَرَهُ، تَبَارَكَ اللَّهُ أَحْسنُ الْخَالِقينَ)).
Ewe Mwenyezi Mungu kwako nimesujudu, na Wewe nimekuamini, na kwako nimesilimu, umesujudu uso wangu kumsujudia aliyeuumba na akautia sura na akaupasua usikizi wake na uoni wake, ametakasika Mwenyezi Mungu mbora wa waumbaji.
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham