((اللَّهُ أَكْبَرُ كَبِيرَاً، اللَّهُ أَكْبَرُ كَبِيراً، اللَّهُ أَكْبَرُ كَبِيراً، وَالْحَمْدُ لِلَّهِ كَثيراً، وَالْحَمْدُ لِلَّهِ كَثيراً، وَالْحَمْدُ لِلَّهِ كَثيراً، وَسُبْحَانَ اللَّهِ بُكْرَةً وَأَصِيلاً)) ثَلاثاً ((أَعُوذُ بِاللَّهِ مِنَ الشَّيْطَانِ: مِنْ نَفْخِهِ، وَنَفْثِهِ، وَهَمْزِهِ)).
Mwenyezi Mungu ni mkubwa, Mwenyezi Mungu ni mkubwa, Mwenyezi Mungu ni mkubwa, sifa njema ni za Mwenyezi Mungu, kwa wingi na sifa njema ni za Mwenyezi Mungu, kwa wingi, na sifa njema ni za Mwenyezi Mungu, kwa wingi, na ametakasika Mwenyezi Mungu asubuhi na jioni. (atasema maneno haya mara tatu). Najilinda kwa Mwenyezi Mungu kutokana na shetani, na kupulizia kwake, na kutabana kwake na kutia kwake wasiwasi katika nyoyo za binadamu.
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham