((سُبْحانَكَ اللَّهُمَّ وَبِحَمْدِكَ، وَتَبارَكَ اسْمُكَ، وَتَعَالَى جَدُّكَ، وَلاَ إِلَهَ غَيْرُكَ)).
Kutakasika ni kwako Ewe Mwenyezi Mungu, na sifa njema zote ni zako, na limetukuka jina lako, na utukufu ni wako, na hapana Mola apasae kuabudiwa kwa haki, asiyekuwa Wewe.
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham