وَقَالَ صلى الله عليه وسلم: ((أَحَبُّ الْكَلاَمِ إِلَى اللَّهِ أَرْبَعٌ: سُبْحَانَ اللَّهِ، وَالْحَمْدُ لِلَّهِ، وَلاَ إِلَهَ إِلاَّ اللَّهُ، وَاللَّهُ أَكْبَرُ، لاَ يَضُرُّكَ بِأَيِّهِنَّ بَدَأتَ)).
Na akasema Mtume (s.a.w): ''Bora ya maneno kwa Mwenyezi Mungu ni manne'': ''Ametakasika Mwenyezi Mungu, na sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, na hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki ila Mwenyezi Mungu, na Mwenyezi Mungu ni Mkubwa.'' ....Si vibaya kuanza kwa lolote katika hayo.
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham