MwanzoDhikriFadhila za tasbiih, tahmiid, tahliil na takbiirdhikri 2

Fadhila za tasbiih, tahmiid, tahliil na takbiir — dhikri 2

فضل التسبيح و التحميد، و التهليل، و التكبير · Hisnul Muslim · 2 / 12

Soma · SikilizaFaili la PDF

وَقَالَ صلى الله عليه وسلم: ((مَنْ قَالَ لاَ إِلَهَ إِلاَّ اللَّهُ وَحْدَهُ لاَ شَرِيكَ لَهُ، لَهُ الْمُلْكُ، وَلَهُ الْحَمْدُ، وَهُوَ عَلَى كُلِّ شَيْءٍ قَدِيرٌ عَشْرَ مِرَارٍ، كَانَ كَمَنْ أَعْتَقَ أَرْبَعَةَ أَنْفُسٍ مِنْ وَلَدِ إِسْمَاعِيلَ)).

Na Mtume (s.a.w) amesema: ''Atakaesema:'' ''Hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki ila Mwenyezi Mungu hali ya kuwa peke yake, hana mshirika, ni wake Ufalme, na ni zake kila sifa njema, na Yeye juu ya kila kitu ni Muweza.'' ......Mara kumi, ni kama (thawabu za mtu) aliyeacha huru nafsi nne katika wana wa Ismail.

Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham

Dhikri · 15 lugha