قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم: ((وَاللَّهِ إِنِّي لأَسْتَغفِرُ اللَّهَ وَأَتُوبُ إِلَيْهِ فِي الْيَوْمِ أَكْثَرَ مِنْ سَبْعِينَ مَرَّةٍ)).
Amesema Mtume (s.a.w): ''Naapa kwa Mwenyezi Mungu, hakika mimi ninamtaka msamaha Mwenyezi Mungu na ninatubia kwake kila siku zaidi ya mara sabini.''
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham