((ضَعْ يَدَكَ عَلَى الَّذِي تَألَّمَ مِنْ جَسَدِكَ وَقُلْ: بِسْمِ اللَّهِ، ثَلاَثاً، وَقُلْ سَبْعَ مَرَّاتٍ: أَعُوذُ بِاللَّهِ وَقُدْرَتِهِ مِنْ شَرِّ مَا أَجِدُ وَأُحَاذِرُ)).
Weka mkono wako juu ya sehemu inayokuuma na kisha useme: ''Kwa jina la Mwenyezi Mungu. (mara tatu). Kisha useme mara saba: ''Najilinda kwa Mwenyezi Mungu na kwa uwezo wake kutokana na shari ya ninachokisikia na ninachokiogopa.''
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham