MwanzoDhikriAnachosema mtu iliyemjia habari ya kufurahisha au kusikitishadhikri 1

Anachosema mtu iliyemjia habari ya kufurahisha au kusikitisha — dhikri 1

ما يقول من أتاه أمر يسره أو يكرهه · Hisnul Muslim · 1 / 1

Soma · SikilizaFaili la PDF

كَانَ النَّبِيُّ صلى الله عليه وسلم إِذَا أَتَاهُ الْأَمْرُ يَسُرُّهُ قَالَ: ((الْحَمْدُ لِلَّهِ الَّذِي بِنِعْمَتِهِ تَتِمُّ الصَّالِحَاتُ)) وَإِذَا أَتَاهُ الْأَمْرُ يَكْرَهُهُ قَالَ: ((الْحَمْدُ لِلَّهِ عَلَى كُلِّ حَالٍ)).

Alikuwa Mtume (s.a.w) ikimjia habari ya kufurahisha akisema: ''Sifa njema ni za Mwenyezi Mungu ambae kwa neema yake yanatimia mambo mema.'' Na ikimjia habari ya kusikitisha husema: ''Sifa njema ni za Mwenyezi Mungu kwa hali zote.''

Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham

Dhikri · 15 lugha