كَانَ النَّبِيُّ صلى الله عليه وسلم إِذَا أَتَاهُ الْأَمْرُ يَسُرُّهُ قَالَ: ((الْحَمْدُ لِلَّهِ الَّذِي بِنِعْمَتِهِ تَتِمُّ الصَّالِحَاتُ)) وَإِذَا أَتَاهُ الْأَمْرُ يَكْرَهُهُ قَالَ: ((الْحَمْدُ لِلَّهِ عَلَى كُلِّ حَالٍ)).
Alikuwa Mtume (s.a.w) ikimjia habari ya kufurahisha akisema: ''Sifa njema ni za Mwenyezi Mungu ambae kwa neema yake yanatimia mambo mema.'' Na ikimjia habari ya kusikitisha husema: ''Sifa njema ni za Mwenyezi Mungu kwa hali zote.''
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham