MwanzoDhikriNyiradi za asubuhi na jionidhikri 15

Nyiradi za asubuhi na jioni — dhikri 15

أذكار الصباح والمساء · Hisnul Muslim · 15 / 24

Soma · SikilizaFaili la PDF

((أَصْبَحْنَا وَأَصْبَحَ الْمُلْكُ لِلَّهِ رَبِّ الْعَالَمِينَ، اللَّهُـمَّ إِنِّي أَسْأَلُكَ خَيْرَ هَذَا الْيَوْمِ:فَتْحَهُ، وَنَصْرَهُ، وَنورَهُ، وَبَرَكَتَهُ، وَهُدَاهُ، وَأَعُوذُ بِكَ مِنْ شَرِّ مَا فِيهِ وَشَرِّ مَا بَعْدَهُ)). [وإذا أمسى قال: أمسينا وأمسى الملك للَّه ربّ العالمين اللَّهم إني أسألك خير هذه الليلة: فتحها، ونصرها، ونورها، وبركتها، وهداها، وأعوذ بك من شر ما فيها، وشر ما بعدها.]

Tumeingia asubuhi na maumbile ya kiislamu, na neno la ikhlasi, na dini ya Mtume wetu Muhammad (s.a.w) na mila (dini) ya Baba yetu Ibrahim iliyo sawa hali ya kuwa muislamu wala hakuwa ni mwenye kumshirikisha Mwenyezi Mungu. Na ikiingia jioni atasema: Tumeingia jioni na maumbile ya kiislamu, na neno la ikhlasi, na dini ya Mtume wetu Muhammad (s.a.w) na mila (dini) ya Baba yetu Ibrahim iliyo sawa hali ya kuwa muislamu wala hakuwa ni mwenye kumshirikisha Mwenyezi Mungu

Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham

Dhikri · 15 lugha