((أَصْبَحْنَا وَأَصْبَحَ الْمُلْكُ لِلَّهِ رَبِّ الْعَالَمِينَ، اللَّهُـمَّ إِنِّي أَسْأَلُكَ خَيْرَ هَذَا الْيَوْمِ:فَتْحَهُ، وَنَصْرَهُ، وَنورَهُ، وَبَرَكَتَهُ، وَهُدَاهُ، وَأَعُوذُ بِكَ مِنْ شَرِّ مَا فِيهِ وَشَرِّ مَا بَعْدَهُ)). [وإذا أمسى قال: أمسينا وأمسى الملك للَّه ربّ العالمين اللَّهم إني أسألك خير هذه الليلة: فتحها، ونصرها، ونورها، وبركتها، وهداها، وأعوذ بك من شر ما فيها، وشر ما بعدها.]
Tumeingia asubuhi na maumbile ya kiislamu, na neno la ikhlasi, na dini ya Mtume wetu Muhammad (s.a.w) na mila (dini) ya Baba yetu Ibrahim iliyo sawa hali ya kuwa muislamu wala hakuwa ni mwenye kumshirikisha Mwenyezi Mungu. Na ikiingia jioni atasema: Tumeingia jioni na maumbile ya kiislamu, na neno la ikhlasi, na dini ya Mtume wetu Muhammad (s.a.w) na mila (dini) ya Baba yetu Ibrahim iliyo sawa hali ya kuwa muislamu wala hakuwa ni mwenye kumshirikisha Mwenyezi Mungu
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham