((اللَّهُمَّ رَبَّ السَّمَوَاتِ السَّبْعِ وَرَبَّ الأَرْضِ، وَرَبَّ الْعَرْشِ الْعَظِيمِ، رَبَّنَا وَرَبَّ كُلِّ شَيْءٍ، فَالِقَ الْحَبِّ وَالنَّوَى، وَمُنْزِلَ التَّوْرَاةِ وَالْإِنْجِيلِ، وَالْفُرْقَانِ، أَعُوذُ بِكَ مِنْ شَرِّ كُلِّ شَيْءٍ أَنْتَ آخِذٌ بِنَاصِيَتِهِ. اللَّهُمَّ أَنْتَ الأَوَّلُ فَلَيْسَ قَبْلَكَ شَيْءٌ، وَأَنْتَ الآخِرُ فَلَيسَ بَعْدَكَ شَيْءٌ، وَأَنْتَ الظَّاهِرُ فَلَيْسَ فَوْقَكَ شَيْءٌ، وَأَنْتَ الْبَاطِنُ فَلَيْسَ دُونَكَ شَيْءٌ، اقْضِ عَنَّا الدَّيْنَ وَأَغْنِنَا مِنَ الْفَقْرِ)).
Ewe Mwenyezi Mungu, Mola wa mbingu saba, na Mola wa arshi tukufu, Mola wetu na Mola wa kila kitu, Mwenye kuichanua tembe ya mbegu na kokwa, na aliye teremsha Taurati na Injili na Qur'an, najikinga kwako kutokana na shari ya kila kitu, Wewe ndiye mwenye kukamata utosi wake, Ewe Mwenyezi Mungu, Wewe ndiye wa mwanzo hakuna kabla yako kitu, nawe ndiwe wa mwisho, hakuna baada yako kitu, na Wewe ndiye uliye wazihakuna juu yako kitu chochote, na Wewe ndiye uliyefichika hakuna kilichojificha chini yako, tulipie madeni yetu, na utuepushe na ufakiri.
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham