(سُبْحانَكَ اللَّهُمَّ وَبِحَمْدِكَ، أَشْهَدُ أَنْ لاَ إِلَهَ إِلاَّ أَنْتَ، أَسْتَغْفِرُكَ وَأَتوبُ إِلَيْكَ).
Utakatifu ni wako Ewe Mola wangu, na shukurani zote zinarudi kwako, nakiri ya kwamba hapana apasae kuabudiwa kwa haki isipokua ni Wewe, naomba msamaha wako, na narejea kwako (kwa kutubia).
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham