(أَشْهَدُ أَنْ لاَ إِلَهَ إِلاَّ اللَّهُ وَحْدَهُ لاَ شَرِيكَ لَهُ وَأَشْهَدُ أَنَّ مُحَمَّداً عَبْدُهُ وَرَسُولُهُ..).
Nakiri kwa moyo na kusema kwa ulimi ya kwamba hapana Mola apasae kuabudiwa kwa haki isipokua Mwenyezi Mungu, peke yake, wala hana mshirika wake, na ninakiri ya kwamba Muhammad (s.a.w) ni mja wake na ni Mtume wake.
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham