((أَسْأَلُ اللَّهَ الْعَظيمَ رَبَّ الْعَرْشِ الْعَظِيمِ أَنْ يَشْفيَكَ)) (سبع مرات).
Amesema Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w): Hapana mja yeyote muislamu anaemtembelea mgonjwa ambae wakati wa kufa bado haujafika na akamuombea mara saba: ''Namuomba Mwenyezi Mungu Mtukufu, Mola wa Arshi tukufu (akuponyeshe).'' Isipokuwa Mwenyezi Mungu humponyesha mgonjwa huyo.
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham