MwanzoDhikriDua baada ya salamu katika swala ya witridhikri 1

Dua baada ya salamu katika swala ya witri — dhikri 1

الذكر عقب السلام من الوتر · Hisnul Muslim · 1 / 1

Soma · SikilizaFaili la PDF

((سُبْحَانَ المَلِكِ القُدُّوسِ)) ثلاثَ مرَّاتٍ والثَّالِثَةُ يَجْهَرُ بها ويَمُدُّ بها صَوتَهُ يقولُ: [رَبِّ الْمَلاَئِكَةِ وَالرُّوحِ])).

'Ametakasika Mwenyezi Mungu, Mfalme, Mtakatifu,'' (Mara tatu). Na mara ya tatu anaisoma kwa sauti kubwa na kwa kuivuta. ''Ewe Mola wa Malaika na wa Jibril.''

Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham

Dhikri · 15 lugha