((سُبْحَانَ المَلِكِ القُدُّوسِ)) ثلاثَ مرَّاتٍ والثَّالِثَةُ يَجْهَرُ بها ويَمُدُّ بها صَوتَهُ يقولُ: [رَبِّ الْمَلاَئِكَةِ وَالرُّوحِ])).
'Ametakasika Mwenyezi Mungu, Mfalme, Mtakatifu,'' (Mara tatu). Na mara ya tatu anaisoma kwa sauti kubwa na kwa kuivuta. ''Ewe Mola wa Malaika na wa Jibril.''
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham