((لاَ إِلَهَ إِلاَّ اللَّهُ الْوَاحِدُ الْقَهّارُ، رَبُّ السَّمَوَاتِ وَالْأَرْضِ وَمَا بَيْنَهُمَا الْعَزيزُ الْغَفَّارُ)).
Hapana Mola apasae kuabudiwa kwa haki ila Mwenyezi Mungu Mmoja aliyeshinda, Mola wa mbingu na ardhi na vilivyo kati yake, Aliyetukuka Mwingi wa msamaha.
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham