MwanzoDhikriDua za adhanadhikri 1

Dua za adhana — dhikri 1

أذكار الآذان · Hisnul Muslim · 1 / 5

Soma · SikilizaFaili la PDF

يَقُولُ مِثْلَ مَا يَقُولُ المُؤَذِّنُ إِلاَّ فِي ((حَيَّ عَلَى الصَّلَاةِ وَحَيَّ عَلَى الْفَلَاحِ)) فَيقُولُ: ((لاَ حَوْلَ وَلاَ قُوَّةَ إِلاَّ بِاللَّهِ)).

Mtu akisikia Muadhini anaadhini anatakiwa aseme kama anavyosema Muadhini, ila atakaposema: ''Hayya ala swalaah'' (yaani) 'Njooni katika swala'. ''Hayya alal falaah'' (yaani) 'Njooni kwenye mafanikio'. yeye hatomfuatisha, bali anatakiwa aseme: Laa haula walaa quwwata illa biLlah. (Yaani): Hapana uwezo wala nguvu ila za Mwenyezi Mungu.

Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham

Dhikri · 15 lugha