MwanzoDhikriKatika mambo ya kheri na adabu kwa ujumladhikri 1

Katika mambo ya kheri na adabu kwa ujumla — dhikri 1

من أنواع الخير والآداب الجامعة · Hisnul Muslim · 1 / 1

Soma · SikilizaFaili la PDF

قَالَ النَّبِيُّ صلى الله عليه وسلم ((إِذَا كَانَ جُنْحُ اللَّيْلِ – أَوْ أَمْسَيْتُم – فَـكُفُّوا صِبْيانَـكُم، فَإِنَّ الشَّيَاطِينَ تَنْتَشِرُ حِينَئِذٍ، فَإِذَا ذَهَبَ سَاعَةٌ مِنَ اللَّيلِ فَخَلُّوهُمْ، وَأَغْلِقُوا الأَبْوَابَ وَاذْكُرُوا اسْمَ اللَّهِ؛ فَإِنَّ الشَّيطَانَ لاَ يَفْتَحُ بَاباً مُغلَقاً، وَأَوْكُوا قِرَبَكُمْ، وَاذْكُرُوا اسْمَ اللَّهِ، وَخَمِّرُوا آنِيَتَكُم، وَاذْكُرُوا اسْمَ اللَّهِ، وَلَوْ أَنْ تَعْرُضُوا عَلَيْهَا شَيْئاً، وَأَطْفِئُوا مَصَابِيحَكُمْ)).

Amesema Mtume (s.a.w): ''Ikiingia jioni (yaani jua linapozama wakati wa magharibi) wazuieni watoto wenu kutoka toka, kwani mashetani wanatawanyika nyakati hizo, ukishapita wakati (huo) waacheni. Na fungeni milango, na mtajeni Mwenyezi Mungu mnapoifunga, kwani shetani hafungui mlango uliofungwa. Na fungeni viriba vyenu vya maji, na mtajeni Mwenyezi Mungu. Na funikeni vyombo vyenu, na mtajeni Mwenyezi Mungu, (funikeni) hata kama ni kwa kuwekea kitu juu. Na zimeni taa zenu.''

Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham

Dhikri · 15 lugha