Mwanzo › Dhikri› Fadhila za tasbiih, tahmiid, tahliil na takbiir › dhikri 11
Fadhila za tasbiih, tahmiid, tahliil na takbiir — dhikri 11 فضل التسبيح و التحميد، و التهليل، و التكبير · Hisnul Muslim · 11 / 12
((إِنَّ أَفْضَلَ الدُّعَاءِ الْحَمْدُ لِلَّهِ، وَأَفْضَلَ الذِّكْرِ لاَ إِلَهَ إِلاَّ اللَّهُ)).
Bora ya dua ni mtu kusema: (Alhamdu liLLahi). ''Kila sifa njema ni za Mwenyezi Mungu.'' Na bora ya utajo (uradi) ni mtu kusema: (Laa ilaha ila LLah). ''Hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki ila ni Mwenyezi Mungu.''
Sikiliza · Sauti ya Hamad al-Duraiham
Fadhila za tasbiih, tahmiid, tahliil na takbiir dhikri 10Fadhila za tasbiih, tahmiid, tahliil na takbiir dhikri 12
Chanzo: Hisnul Muslim — Sheikh Said al-Qahtani · Sauti: hisnmuslim.com
Maudhui ni ya vyanzo vilivyotajwa hapo juu. Sambaza faili hizi kwa uhuru, bila idhini na bila malipo — haziuzwi wala kunasibishwa kwa mwingine.
plegh.com · Bila usajili